Kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika tar 3/11/2020 Slipway Hotel sambamba na kumkabidhi ofisi Mwenyekiti mpya ndugu Thobias Kyando

Kamati kuu ya ACCT imempitisha Ndugu Thobias Kyando kua mwenyekiti mpya wa ACCT, tar 3/11/2020 Slipway Hotel Mwenyekiti mpya alikabidhiwa Katiba na ofisi kutoka kwa mwenyekiti aliemaliza muda wake ndugu Milton Nyerere.